WAZIRI GWAJIMA ASEMA CHANJO YA CORONA KUANZA KUTOLEWA NJE YA VITUO VYA AFYA
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt.Dorothy Gwajima amesema kuwa chanjo ya UVIKO-19 itaanza kutolewa maeneo yasiyokuwa na vituo vya kutolea huduma za afya kupitia huduma ya mkoba ili kufikisha huduma hiyo kwa watu wote wanaohitaji. Dkt. Gwajima amesema hayo wakati alipohudhuria mechi ya kirafiki
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed